2 Fal. 5:20 SUV

20 Lakini Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akasema, Tazama, bwana wangu amemwachilia huyo Naamani Mshami, asivipokee mikononi mwake vile vitu alivyovileta; kama BWANA aishivyo, mimi nitamfuata mbio, nipokee kitu kwake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 5

Mtazamo 2 Fal. 5:20 katika mazingira