2 Fal. 5:26 SUV

26 Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng’ombe, na watumwa, na wajakazi?

Kusoma sura kamili 2 Fal. 5

Mtazamo 2 Fal. 5:26 katika mazingira