2 Fal. 6:15 SUV

15 Hata asubuhi na mapema mtumishi wake yule mtu wa Mungu alipoondoka, na kwenda nje, kumbe! Pana jeshi la watu, na farasi na magari, wameuzingira mji ule. Mtumishi wake akamwambia, Ole wetu! Bwana wangu, tufanyeje?

Kusoma sura kamili 2 Fal. 6

Mtazamo 2 Fal. 6:15 katika mazingira