2 Fal. 7:12 SUV

12 Mfalme akaondoka usiku, akawaambia watumishi wake, Sasa nitawaonyesha ninyi walivyotutendea Washami. Wanajua ya kuwa tuna njaa; basi wametoka kituoni, ili kujificha kondeni, wakisema Watakapotoka mjini, tutawakamata hai; tena tutapata kuingia mjini.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:12 katika mazingira