2 Fal. 7:19 SUV

19 na yule akida akamjibu mtu wa Mungu, akasema, Sasa tazama, kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, je! Jambo hili lingewezekana? Akasema, Angalia, wewe utaliona kwa macho yako, lakini hutakula.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:19 katika mazingira