2 Fal. 7:6 SUV

6 Kwa maana Bwana alikuwa amewasikizisha Washami kishindo cha miendo ya magari, na kishindo cha farasi, kama kishindo cha jeshi kubwa; wakaambiana, Tazama, mfalme wa Israeli amewaajiri wafalme wa Wahiti, na wafalme wa Wamisri, waje wapigane nasi.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 7

Mtazamo 2 Fal. 7:6 katika mazingira