2 Fal. 8:1 SUV

1 Basi Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke, ambaye alimfufulia mwanawe, akasema, Ondoka, ukaende wewe na jamaa yako, ukae hali ya kigeni utakakoweza kukaa; kwa sababu BWANA ameiita njaa; nayo itakuja juu ya nchi hii muda wa miaka saba.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 8

Mtazamo 2 Fal. 8:1 katika mazingira