2 Fal. 9:36 SUV

36 Basi wakarudi, wakampasha habari. Akasema, Hili ndilo neno la BWANA, alilolinena kwa kinywa cha mtumishi wake Eliya, Mtishbi, kusema, Katika kiwanja cha Yezreeli mbwa wataila nyama ya Yezebeli.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 9

Mtazamo 2 Fal. 9:36 katika mazingira