10 Ndipo Asa akamkasirikia mwonaji, akamtia nyumbani mwa mkatale; maana amemghadhibikia kwa sababu ya neno hilo. Na Asa akawaonea baadhi ya watu wakati ule ule.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 16
Mtazamo 2 Nya. 16:10 katika mazingira