2 Nya. 18:3 SUV

3 Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, Je! Utakwenda nami mpaka Ramoth-gileadi? Akamjibu, Mimi ni kama wewe, na watu wangu kama watu wako; nasi tutakuwa pamoja nawe vitani.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 18

Mtazamo 2 Nya. 18:3 katika mazingira