2 Nya. 18:31 SUV

31 Ikawa maakida wa magari walipomwona Yehoshafati, wakasema, Mfalme wa Israeli ni huyu. Basi wakamgeukia ili wapigane naye; lakini Yehoshafati akalia, na BWANA akamsaidia; Mungu akawafarakisha kwake.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 18

Mtazamo 2 Nya. 18:31 katika mazingira