26 Hata siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka; maana ndipo walipombarikia BWANA; kwa hiyo jina lake mahali pale pakaitwa Bonde la Baraka hata leo.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 20
Mtazamo 2 Nya. 20:26 katika mazingira