2 Nya. 25:13 SUV

13 Lakini wale watu wa jeshi, aliowarudisha Amazia, wasiende naye vitani, hao wakaiteka miji ya Yuda, tangu Samaria mpaka Beth-horoni, wakawapiga watu elfu tatu, wakachukua nyara nyingi.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 25

Mtazamo 2 Nya. 25:13 katika mazingira