2 Nya. 26:21 SUV

21 Uzia mfalme akawa na ukoma hata siku ya kufa kwake, akakaa katika nyumba ya pekee, kwa kuwa ni mwenye ukoma; maana alitengwa na nyumba ya BWANA; na Yothamu mwanawe alikuwa juu ya nyumba ya mfalme, akiwahukumu watu wa nchi.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 26

Mtazamo 2 Nya. 26:21 katika mazingira