2 Nya. 28:18 SUV

18 Wafilisti pia walikuwa wameingia miji ya Shefela, na ya Negebu ya Yuda, nao wameutwaa Beth-shemeshi, na Ayaloni, na Gederothi, na Soko pamoja na miji yake, na Timna pamoja na miji yake, na Gimzo pia na miji yake; wakakaa humo.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 28

Mtazamo 2 Nya. 28:18 katika mazingira