2 Nya. 28:5 SUV

5 Kwa hiyo BWANA, Mungu wake, akamtia mkononi mwa mfalme wa Shamu; wakampiga, wakachukua wa watu wake wafungwa wengi sana, wakawaleta Dameski. Tena akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli, aliyempiga mapigo makuu.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 28

Mtazamo 2 Nya. 28:5 katika mazingira