2 Nya. 29:18 SUV

18 Wakaingia ndani kwa Hezekia mfalme, wakasema, Tumeisafisha nyumba yote ya BWANA, na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, pamoja na vyombo vyake vyote, na meza ya mikate ya wonyesho, pamoja na vyombo vyake vyote.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 29

Mtazamo 2 Nya. 29:18 katika mazingira