2 Nya. 29:25 SUV

25 Akawasimamisha Walawi nyumbani mwa BWANA wenye matoazi, wenye vinanda, na wenye vinubi, kama alivyoamuru Daudi, na Gadi mwonaji wa mfalme, na Nathani nabii; kwani BWANA aliamuru hivi kwa manabii wake.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 29

Mtazamo 2 Nya. 29:25 katika mazingira