15 Kisha wakaichinja pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili, nao makuhani na Walawi wakatahayarika, wakajitakasa, wakaleta sadaka za kuteketezwa nyumbani mwa BWANA.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 30
Mtazamo 2 Nya. 30:15 katika mazingira