2 Nya. 31:2 SUV

2 Hezekia akaziweka zamu za makuhani na Walawi kwa zamu zao, kila mtu kwa kadiri ya huduma yake, makuhani na Walawi pia, kwa sadaka za kuteketezwa na kwa sadaka za amani, kutumika, na kushukuru, na kusifu, malangoni mwa matuo ya BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 31

Mtazamo 2 Nya. 31:2 katika mazingira