21 Na katika kila kazi aliyoanza kwa utumishi wa nyumba ya Mungu, na kwa torati, na kwa amri, ili kumtafuta Mungu wake, aliifanya kwa moyo wake wote, akafanikiwa.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 31
Mtazamo 2 Nya. 31:21 katika mazingira