1 Ikawa, baada ya mambo hayo, na uaminifu huo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja, akaingia katika Yuda, akafanya marago juu ya miji yenye maboma, akadhania kwamba ataipata iwe yake.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 32
Mtazamo 2 Nya. 32:1 katika mazingira