2 Nya. 32:17 SUV

17 Tena akaandika waraka, kumtukana BWANA, Mungu wa Israeli, na kumwambia, akisema, Kama vile miungu ya mataifa wa nchi isivyowaokoa watu wao na mkono wangu, vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake na mkono wangu.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 32

Mtazamo 2 Nya. 32:17 katika mazingira