16 Akaijenga madhabahu ya BWANA, akatoa juu yake dhabihu za sadaka za amani, na za shukrani, akawaamuru Yuda wamtumikie BWANA, Mungu wa Israeli.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 33
Mtazamo 2 Nya. 33:16 katika mazingira