15 Akaiondoa miungu migeni, na hiyo sanamu nyumbani mwa BWANA, na madhabahu zote alizozijenga katika mlima wa nyumba ya BWANA, na Yerusalemu, akazitupa nje ya mji.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 33
Mtazamo 2 Nya. 33:15 katika mazingira