2 Nya. 34:12 SUV

12 Nao watu wakatenda kazi kwa uaminifu; na wasimamizi wao walikuwa Yahathi na Obadia, Walawi, wa wana wa Merari; na Zekaria na Meshulamu, wa wana wa Wakohathi, ili kuihimiza kazi; na wengine katika Walawi, wote waliokuwa wastadi wa kupiga vinanda.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 34

Mtazamo 2 Nya. 34:12 katika mazingira