2 Nya. 34:27 SUV

27 kwa kuwa moyo wako ulikuwa mwororo, nawe umejinyenyekeza mbele ya Mungu, uliposikia maneno yake juu ya mahali hapa, na juu ya wakaao, ukajinyenyekeza mbele zangu, na kuyararua mavazi yako, na kulia mbele zangu; mimi nami nimekusikia, asema BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 34

Mtazamo 2 Nya. 34:27 katika mazingira