24 Basi watumishi wake wakamtoa garini, wakamtia katika gari la pili alilokuwa nalo, wakamleta Yerusalemu; naye akafa, akazikwa makaburini mwa babaze. Wakamlilia Yosia Yuda wote na Yerusalemu.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 35
Mtazamo 2 Nya. 35:24 katika mazingira