2 Nya. 35:8 SUV

8 Na wakuu wake wakawapa watu, na makuhani na Walawi matoleo ya hiari. Hilkia na wana na Yehieli, wakubwa wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani, kuwa matoleo ya pasaka, wana-kondoo elfu mbili na mia sita, na ng’ombe mia tatu.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 35

Mtazamo 2 Nya. 35:8 katika mazingira