16 lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 36
Mtazamo 2 Nya. 36:16 katika mazingira