2 Nya. 7:10 SUV

10 Akawaruhusu watu waende hemani kwao siku ya ishirini na tatu, ya mwezi wa saba, wakifurahi na kuchangamka mioyoni kwa wema wote BWANA aliomfanyia Daudi, na Sulemani, na Israeli watu wake.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 7

Mtazamo 2 Nya. 7:10 katika mazingira