11 Hivyo Sulemani akaimaliza nyumba ya BWANA, na nyumba ya mfalme; na yote yaliyomwingia Sulemani moyoni ayafanye nyumbani mwa BWANA, na nyumbani mwake mwenyewe, akayafanikisha.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 7
Mtazamo 2 Nya. 7:11 katika mazingira