2 Nya. 9:21 SUV

21 Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu zilizokwenda Tarshishi pamoja na watumishi wa Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 9

Mtazamo 2 Nya. 9:21 katika mazingira