Eze. 11:13 SUV

13 Ikawa, nilipotoa unabii, Pelatia, mwana wa Benaya, akafa. Ndipo nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu, nikasema, Ee Bwana MUNGU, je! Utawakomesha kabisa mabaki ya Israeli?

Kusoma sura kamili Eze. 11

Mtazamo Eze. 11:13 katika mazingira