Eze. 33:31 SUV

31 Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.

Kusoma sura kamili Eze. 33

Mtazamo Eze. 33:31 katika mazingira