Ezr. 1:7 SUV

7 Tena Koreshi, mfalme, alivitoa vyombo vya nyumba ya BWANA, alivyokuwa amevileta Nebukadreza toka Yerusalemu, na kuvitia katika nyumba ya miungu yake.

Kusoma sura kamili Ezr. 1

Mtazamo Ezr. 1:7 katika mazingira