Ezr. 8:16 SUV

16 Ndipo nikatuma watu kwenda kumwita Eliezeri, na Arieli, na Shemaya, na Elnathani, na Yaribu, na Elnathani, na Nathani, na Zekaria, na Meshulamu, waliokuwa wakuu; na Yoyaribu, na Elnathani pia, waliokuwa waalimu.

Kusoma sura kamili Ezr. 8

Mtazamo Ezr. 8:16 katika mazingira