Hab. 3:16 SUV

16 Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka,Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile;Ubovu ukaingia mifupani mwangu,Nikatetemeka katika mahali pangu;Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki,Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu.

Kusoma sura kamili Hab. 3

Mtazamo Hab. 3:16 katika mazingira