3 Basi Musa akawatuma kutoka nyika ya Parani kama alivyoagizwa na BWANA; wote walikuwa ni watu walio vichwa vya wana wa Israeli.
4 Na majina yao ni haya; katika kabila ya Reubeni, Shamua mwana Zakuri.
5 Katika kabila ya Simeoni, Shafati mwana wa Hori.
6 Katika kabila ya Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
7 Katika kabila ya Isakari, Igali mwana wa Yusufu.
8 Katika kabila ya Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni
9 Katika kabila ya Benyamini, Palti mwana wa Rafu.