Hes. 14:2 SUV

2 Kisha wana wa Israeli wote wakamnung’unikia Musa na Haruni; mkutano wote wakawaambia, Ingekuwa heri kama tungalikufa katika nchi ya Misri, au, ingekuwa heri kama tungalikufa katika jangwa hili.

Kusoma sura kamili Hes. 14

Mtazamo Hes. 14:2 katika mazingira