Hes. 14:34 SUV

34 Kwa hesabu ya hizo siku mlizoipeleleza ile nchi, yaani, siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka, mtayachukua maovu yenu, ndiyo miaka arobaini, nanyi mtakujua kufarikana kwangu.

Kusoma sura kamili Hes. 14

Mtazamo Hes. 14:34 katika mazingira