Hes. 16:18 SUV

18 Basi wakavitwaa kila mtu chetezo chake, wakatia na moto ndani yake, wakatia na uvumba juu ya moto, na kusimama pale mlangoni pa hema ya kukutania, pamoja na Musa na Haruni.

Kusoma sura kamili Hes. 16

Mtazamo Hes. 16:18 katika mazingira