20 Kisha BWANA akamwambia Haruni, Wewe hutakuwa na urithi katika nchi yao, wala hutakuwa na fungu lo lote kati yao; mimi ni fungu lako, na urithi wako, katika wana wa Israeli.
Kusoma sura kamili Hes. 18
Mtazamo Hes. 18:20 katika mazingira