Hes. 18:20 SUV

20 Kisha BWANA akamwambia Haruni, Wewe hutakuwa na urithi katika nchi yao, wala hutakuwa na fungu lo lote kati yao; mimi ni fungu lako, na urithi wako, katika wana wa Israeli.

Kusoma sura kamili Hes. 18

Mtazamo Hes. 18:20 katika mazingira