Hes. 18:21 SUV

21 Na wana wa Lawi, nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao, badala ya huo utumishi wautumikao, maana, ni huo utumishi wa hema ya kukutania.

Kusoma sura kamili Hes. 18

Mtazamo Hes. 18:21 katika mazingira