Hes. 22:35 SUV

35 Malaika wa BWANA akamwambia Balaamu Enenda pamoja na watu hawa, lakini neno lile nitakalokuambia, ndilo utakalosema. Basi Balaamu akaenda pamoja na wakuu wa Balaki.

Kusoma sura kamili Hes. 22

Mtazamo Hes. 22:35 katika mazingira