Hes. 24:13 SUV

13 Kama Balaki angenipa nyumba yake imejaa fedha na dhahabu, siwezi kupita mpaka wa neno la BWANA, kutenda neno jema, wala neno baya, kwa nia yangu mwenyewe; BWANA atakalolinena ndilo nitakalolinena mimi.

Kusoma sura kamili Hes. 24

Mtazamo Hes. 24:13 katika mazingira