Hes. 31:30 SUV

30 Na katika hiyo nusu ya wana wa Israeli utatwaa mmoja atakayetolewa katika kila hamsini, katika wanadamu, na katika ng’ombe, na katika punda, na katika kondoo, maana, katika wanyama wote, ukawape Walawi, hao walindao ulinzi wa maskani ya BWANA.

Kusoma sura kamili Hes. 31

Mtazamo Hes. 31:30 katika mazingira