Hes. 4:12 SUV

12 kisha watavitwaa vile vyombo vyote vya utumishi wavitumiavyo katika mahali patakatifu, na kuvitia katika nguo ya rangi ya samawi, na kuvifunika kwa ngozi za pomboo, na kuvitia juu ya miti ya kuvichukulia.

Kusoma sura kamili Hes. 4

Mtazamo Hes. 4:12 katika mazingira