Hes. 8:12 SUV

12 Kisha Walawi wataweka mikono yao juu ya vichwa vya hao ng’ombe; nawe umtoe mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA, na huyo wa pili awe sadaka ya kuteketezwa, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi.

Kusoma sura kamili Hes. 8

Mtazamo Hes. 8:12 katika mazingira