Hes. 8:21 SUV

21 Walawi wakajitakasa na dhambi, nao wakafua nguo zao; kisha Haruni akawasongeza mbele za BWANA wawe sadaka ya kutikiswa; Haruni akafanya kwa ajili yao ili kuwatakasa.

Kusoma sura kamili Hes. 8

Mtazamo Hes. 8:21 katika mazingira